Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kuingia kwenye WhatsApp kwa sasa utatumia E-mail

Jumatatu , 6th Nov , 2023

 Unasifika kwa kuwa na watumiaji zaidi ya Bilioni 2 ulimwenguni kote, huku ukiwa na watu zaidi ya milioni 39 waliopakua ''Application'' hii, ukishika nafasi ya nne baada ya Facebook, Instagram na TikTok.

 

WhatsApp kwa sasa wanafanya majaribio ya kuwaruhusu watumiaji wake kuingia kwenye ''account'' zao za WhatsApp kwa kutumia E-mail ikiwa kama mbadala wa namba ya simu.

Kwa lugha nyepesi hautakuwa na haja ya kuweka laini yako ya simu kwenye kifaa chako ili kupata namba sita ''OTP'' ambazo hutumika kama udhibitisho kwako unapoingia kwenye ''account'' yako kwenye mtandao wa WhatsApp.

Hii haina maana ya kutambulishwa kwa mfumo wa E-mail kutaondoa mfumo wa ''OTP'' bali itamuongezea machaguo zaidi mtumiaji wa mtandao wa WhatsApp. 

Kwa Lugha nyepesi hiki  ambacho kimeandikwa hapa ni kama unapopika, mwanzoni ilikuwa lazima upike Pilau ndiyo watu wafurahie chakula lakini inakuja namna nyepesi ya wali mweupe ambao haitaji viungo kukamilisha pishi hili, bali ni mchele uleule ambao hapa umekuja kwenye namna ya tofauti. 

Picha: @pinterest.com

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine