Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kijana abeba bango kumtafuta Baba

Jumamosi , 27th Nov , 2021

Kijana mmoja nchini Kenya aitwaye Benson Kirobi, anamtafuta Baba yake aitwaye Benson Obote, ambaye hajawahi kumuona tangu azaliwe na kusema kwamba baba yake huyo alikuwa mwanajeshi na alitumwa nchini Sierra Leone kufanya kazi na hakuwahi kurudi tena.

Benson Kirobi, anayemtafuta Baba yake

Kufuatia hali hiyo Kirobi, aliamua kushika bango na kutembea nalo kwenye Jiji la Nairobi, akimtafuta mzazi wake huyo, ambapo wakati akifanyiwa mhojiano na Tuko swahili, alisema kwamba kwamba ameamua kufanya hivyo kwa kuwa kila mmoja hutamani kuwa karibu na watu anaowapenda.

"Baadhi ya watu walikuwa wakinitupia jicho kali, ishara kwamba kamwe hawakukubaliana na hatua yangu, hata hivyo nilihisi kuna wale ambao walinitia moyo kimya kimya, kila mmoja wetu anatamani kuwa na wale anaowapenda, ninaamini kwa kukutana naye, nitaelewa vyema kwa nini niko jinsi nilivyo,” amesema Kirobi

Kirobi  amesema kwamba baba yake alipoondoka nchini, mama yake alikuwa mjamzito na huenda hakuwa anafahamu hali ya mke wake huyo na kwamba mama yake Kirobi alipomuulizia aliaambiwa kwamba askari wengi waliokuwa kwenye oparesheni hiyo waliuawa vitani.

HABARI ZAIDI

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90