Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Joe Biden ajiunga rasmi na mtandao wa TikTok

Jumanne , 13th Feb , 2024

Siasa ni kama aina nyingine ya biashara, kwa wataalamu wa masuala ya ''marketing'' mtaungana nami kukubali hili kwani ''digital form'' ndiyo ambayo inatumika kwa kiasi kikubwa kupata walengwa walio kwenye ''Gen Z'' yaani ''generation Z'' (1997 mpaka 2012)

 

Wakati Tanzania tunajivunia kuwa na ongezeko kubwa la watumiaji wa mtandao TikTok mpaka kufikia watu zaidi ya Milioni 1.6, Lakini hii ni maradufu kwa wenzetu nchini Marekani kwani takwimu za mwisho zinaonesha kuwa mtandao huo kwa nchini marekani unazaidi ya watumiaji milioni 150.

Nikurudishe nyuma kidogo, Mwaka 2022 nchini Marekani kupitia huyu huyu Joe Biden walipitishwa sheria za kukataza vifaa na mashirika ya serikali kutumia TikTok kwa sababu za kiusalama.

Lakini kuelekea uchaguzi mkuu mwaka huu nchini humo, tunamuona yule aliyekataza matumizi ya mtandao huo kwa watumishi wa serikali anajiunga na mtandao ule ule kwa lengo ya kurahisisha kampeni zake.

Inaweza kuwa na tafsiri tofauti kwa wachambuzi wa maswala ya siasa lakini kwa kuhitaji kuwafikia vijana kwenye hili ameshinda kwa sauti ya Manara ''Asubuhi''

Lakini kwa nchini Marekani ni kama vile Tanzania wale timu mgombea ''X'' siye tumezoea kuwaita chawa pia na kule wako, na ndiyo maana inasemwa kuwa mtandao huo utaendeshwa na ''team biden'' na si yeye.

Ni upi mtazamo wako kwenye hili?

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine