Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

EATV kufanya matembezi ya hisani Kisarawe

Jumatano , 7th Oct , 2020

Katika kuelekea Siku ya Mtoto wa Kike Duniani jumapili hii, East Africa Television (EATV) Limited, kupitia kampeni yake ya Namthamini itafanya Matembezi ya Hisani Kisarawe kwa kushirikiana na Mkuu wa Wilaya hiyo Jokate Mwegelo yenye lengo la kuchangia Elimu ya Mtoto wa Kike Wilayani humo.

Mkurugenzi wa Aspire Products & Service company (APS), Janeth Dutu akimkabidhi taulo za kike mtangazaji wa EATV, Tony Albert (T-Bway).

Katika kuunga mkono kampeni hiyo kampuni ya Aspire Products and Service company (APS), imefika ofisi za EATV zilizopo Mikocheni eneo la viwanda Jijini Dar es Salaam na kuchangia msaada wa taulo za kike 200 kama mchango wao katika kampeni hiyo.

Akizungumza baada ya kukabidhi taulo hizo Mkurugenzi wa APS Janeth Dutu amewaomba wadau mbalimbali kujitokeza ili kusaidia kutimiza ndoto za watoto waliopo mashuleni ambao muda wao wa masomo hupotea kutokana na kukosa mahitaji muhimu ikiwemo taulo za kike kila mwezi.

Nawasihi wadau kujitokeza siku ya Jumapili katika matembezi hayo, lakini pia mnaweza kuleta michango yenu hapa ofisi za EATV, tuhakikishe kwa pamoja tunamuinua mtoto wa kike ili asikose haki yake ya kupata elimu”, amesema Janeth

Ofisi ya Mkuu wa wilaya ya Kisarawe ikiungana na EATV na East Africa Radio kupitia kampeni ya NAMTHAMINI inapenda kukukaribisha mdau wa maendeleo kuchangia taulo za kike ama vifaa vingine vya shule pamoja na kushiriki matembezi ya hisani yatakayofanyika Jumapili hii Oktoba 11, 2020 Kisarawe katika kuadhimisha Siku ya Mtoto wa Kike.

HABARI ZAIDI

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria