Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Aunt Sadaka atoa neno mjadala wa wana Twitter

Jumatano , 3rd Mar , 2021

Mshauri wa malezi, mahusiano na ndoa Aunt Sadaka, amesema kuwa ili kuepusha migogoro kati ya Mama mkwe na mkwewe wa kike ni kuhakikisha kila mtu anaheshimu mipaka yake na kwamba kila mmoja wao anayonafasi kubwa kwa huyo kijana wa kiume.

Mshauri wa malezi, mahusiano na ndoa, Aunt Sadaka

Hayo ameyazungumza hii leo Machi 3, 2021, kufuatia mjadala ulioibuka mitandaoni siku za hivi karibuni ulioonesha misigano inayotokea pale kijana wa kiume anapoamua kuoa na kuanzisha familia huku mama yake mzazi akionesha kuingilia hiyo ndoa ama kutoelewana na mke wa kijana wake.

"Heshima hailazimishwi wewe huna sababu ya kuniheshimu mimi kama sikuheshimu wewe, kila mtu ajue mipaka yake umeolewa kwa mwanangu una mipaka yako kama mtoto na mimi mama nina mipaka yangu kama mama, unajua jambo ambalo tunashindwa kulielewa na kulikubali ni kwamba mimi Mama siwezi kuwa mke kwa mtoto wangu na wewe mke huwezi kuwa Mama kwa mtoto wangu," amesema Aunt Sadaka. 

Aidha Aunt Sadaka ameongeza kuwa "Kila mtu ana nguvu yake, wewe kama mke una nguvu ambayo mimi kama mama siwezi kuwa nayo hata siku moja kwa mtoto wangu na wewe mke huwezi kuwa na nguvu niliyonayo mimi mama kwa mtoto wangu, mimi nitakuheshimu wewe kama mke wa mtoto wangu na wewe ni lazima uniheshimu kwa vitu viwili kwanza nimekuzidi umri na wewe umekuja umeolewa kwangu".

HABARI ZAIDI

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria

Coaster iliyoparamia nyumba Bukoba

Tisa wanusurika kifo Kagera