Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ahukumiwa miaka 6 kwa kutembea na wanawake 19

Jumanne , 13th Oct , 2020

Mwanaume mmoja aliyetambulika kwa jina la Danny C Perry II (41) kutoka nchini Marekani, amehukumiwa kifungo cha miaka 6 jela kwa kosa la kutembea na wanawake 19 bila ya kutumia kinga na kutowaambia wanawake hao kama ana virusi vya ugonjwa wa Ukimwi.

Picha ya Danny C Perry II

Taarifa za polisi zinasema Danny C Perry II  aliweza kutembea na wanawake wasiopungua 19 kwa kipindi cha miaka miwili iliyopita, ambapo mpenzi wake wa kwanza alisema mwanaume huyo amekuwa akiishi na virusi hivyo tangu mwaka 2003.

Katika uamuzi wa Jaji wa makosa ya Jinai ya Mahakama kwenye Kaunti ya Davidson, Kate Boston amesema mtuhumiwa hakutumia kinga kwa makusudi wakati anajua ana virusi vya Ukimwi.

"Alikusudia kumuambukiza mtu na virusi vya ukimwi, alijua anaugua maradhi hayo, na alifahamu vyema kwamba angewakinga wenzake dhidi ya kupata ugonjwa huo. Lakini alichagua kuhatarisha maisha ya wenzake" amesema Jaji Kate Boston

Aidha kwa upande wa mmoja wa wapenzi wake wa zamani aitwaye Marvelyn Brown ametoa ushuhuda kuhusu tukio hilo na amefurahi kuona amefungwa kifungo hicho kwani aliambukizwa ugonjwa huo na mwanaume huyo.

Chanzo : Daily Mail, Metro

HABARI ZAIDI

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria

Coaster iliyoparamia nyumba Bukoba

Tisa wanusurika kifo Kagera