Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Lipumba apewa jina jipya, aitwa "BWANA YULE"

Ijumaa , 28th Oct , 2016

Katibu Mkuu wa CHADEMA Dkt. Vincent Mashinji amesema Umoja wa Katiba  ya Wananchi UKAWA kwa sasa wanamuita Prof Ibrahim Lipumba ‘Bwana Yule’

Prof. Lipumba

Hiyo ni baada ya kuona amekiuka malengo na mikakati ambayo walikuwa wameiweka kwa pamoja na kuanza kuwagawa wana umoja huo.

“Sisi UKAWA tunamwita Prof Lipumba bwana yule, maana hatujui yupo nyuma ya nani na ana  lengo gani kwa sababu kwa taaluma yake na  haiba yake na anavyofanya sasa hivi haieleweki kabisa” Amesema Dkt. Mashinji

Pamoja na hayo Dkt. Mashinji aliyekuwa KIKAANGONI ya EATV, amesema UKAWA ipo palepale na itaendelea kushirikiana katika kuhakikisha kwamba demokrasia ya kweli inapatikana nchini.

 

Dkt. Vincent Mashinji

Kuhusu madai kuwa CHADEMA inaingilia masuala ya CUF, Mashinji amesema siyo kweli kuwa CHADEMA inaingilia masuala ya ndani ya chama hicho, ndiyo maana haikushiriki kikao chochote cha CUF, lakini inachofanya ni kushauri kuhusu maamuzi ambayo yamekwishaamuliwa na vikao halali vya CUF kama mwanafamilia wa UKAWA.

Aidha Dkt. Mashinji ameongeza kuwa Katiba ya wananchi ambayo ilikwama inatakiwa kufanyiwa kazi upya na hatimaye kuifanya ikubalike kwa kuwa ndiyo suluhisho la mambo mengi yanayoendelea nchini na bila hiyo bado mambo yatazidi kuenda kama tulikotoka.

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya