Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Watakiwa kuitumia Dance100% kujitengenezea ajira

Alhamisi , 22nd Sep , 2016

Kuelekea katika hatua ya fainali ya Dance100% zitakazofanyika siku ya Jumamosi wiki hii katika viwanja vya Don Bosco Oysterybay, vijana wametakiwa kutumia vipaji walivyonavyo kama kazi ili kuweza kujikimu kimaisha.

Wawakilishi wa makundi wakifanya ziara katika ofisi za Vodacom, Mlimani City Dar es Salaam

Meneja Uhusiano wa Vodacom Tanzania, Martina Nkurlu amesema, vijana hao wanatakiwa kuona kipaji walichonacho kuwa ni sehemu ya kazi ambayo itaweza kuwanufaisha hapo baadaye huku akiwataka watanzania waweze kujitokeza siku ya fainali ili kuweza kushuhudia vipaji vilivyopo.

Kwa upande wake Afisa Masoko wa EATV ambao ni waandaaji wa shindano hilo Brendansia Kileo amesema, wanategemea fainali zitakuwa na changamoto kubwa ya kiushindani kutokana na kila kundi kujiandaa vya kutosha ili kuweza kuibuka washindi wa shindano hilo.

Naye Afisa Masoko wa Kampuni ya Coca Cola ambao pia ni wadhamini wa shindano hilo Mariam Sezinga amesema, wanaamini vijana wengi wana vipaji, hivyo kwa upande wao pia wanaendelea kuvikuza ili kuweza kupata vijana wengi wenye vipaji hapa nchini.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine