Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Vijana msisubiri misaada" - Nikki wa Pili

Jumatano , 26th Jul , 2017

Msanii kutoka kampuni ya Weusi Niki wa Pili amewapa ushauri vijana waliozaliwa katika ardhi ya Tanzania kwa kuwaambia waache kufuta mifumo au mitazamo isiyo akisi katika ujana wao na badala yake wajitume katika kupambana na hali ya maisha ili waweze

Msanii Niki wa Pili.

 kufanikiwa maisha kabla ya miaka 38.

Nikki amesema hayo kupitia ukurasa wake wa Instagram baada ya kuwepo kundi kubwa la vijana mtaani huku wengine wakiamini kwamba hawawezi kufanikiwa maishani mwao mpaka wawe na mtu pembeni yao wa kumpa msaada wa kumshika mkono ili aweze kufika mahali fulani.

"Tanzania kuna utamaduni mkubwa wa kuwapangia vijana cha kufanya, kusema hata kuvaa. Huko mashuleni au vyuoni sauti za vijana, wanafunzi hazina nafasi katika kuandaa mitaala wala namna ya kuendesha vyuo au shule kila kitu kinapangwa na walio wakubwa zaidi ndiyo maana kufanikiwa wengi wanaanza juu ya miaka 38", ameandika Nikki wa Pili.

Pamoja na hayo, Nikki ameendelea kwa kusema "Vijana msifuate mifumo au mitazamo isiyo akisi ujana wenu, nguvu yenu na ndoto zenu. Msisubiri vitoke juu kwa wakubwa kama msaada, anzieni chini mjifunze kupitia nyie kwa nyie", amesisitiza Nikki.

Kwa upande mwingine, Nikki amesema hata katika madarasa ya elimu ya juu (masters) hakuna uhusishwaji wa sauti za wanafunzi katika kufanya jambo lolote lile ila kinachoangaliwa ni jinsi gani umelipa karo ya masomo na kuingia darasani na kufundishwa tu.

HABARI ZAIDI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali