Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Tumetimiza tulichoahidi mashabiki - Makorokocho

Jumatatu , 26th Sep , 2016

Kundi lililoibuka na taji la Dance100% 2016 Timu Makorokocho limesema limetimiza ahadi yao kwa mashabiki wao kwamba mwaka huu utakuwa mwaka wao wa mwisho kushiriki shindano la Dance100%.

Kundi la Makorokocho

Akizungumza na EATV mmoja wa wanakundi hilo Hamadi Abasi amesema waliweka bayana msimamo wao kwamba kama wasiposhinda mwaka huu hawatashiriki tena na wakishinda pia hawatashiriki kwa kuwa mshindi hashiriki tena mwaka unaofuata.

“Sisi tuliweka wazi mapema msimamo wetu baada ya kuangalia wenzetu namna wanavyocheza tukagundua kuna gepu ambalo tukilifanyia kazi tutashinda, ndiyo maana kila siku sisi tumekuwa wabunifu kuanzia muonekano hadi mavazi na aina ya uchezaji” Amesema Hamadi.

Kwa upande wake Salum Abas amesema mchuano mwaka huu ulikuwa mkali sana jambo ambalo liliwafanya wao kudumu kwenye mazoezi kwa muda mrefu na kuhakikisha kila mmoja anakuwa tayari kwa mashindano.

Aidha kundi hilo limesifu uamuzi wa majaji kwamba haukuwa na upendeleo wa aina yoyote kwani kila mmoja uwanjani aliona uwezo wa kundi hilo na hivyo wanashukuru kwa majaji kutenda haki.

Fainali za Dance100% ambazo zimefanyika Jumamosi Septemba 24 Oysterbay Jijini Dar es Salaam zitaoneshwa na EATV siku ya Jumapili saa moja jioni.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine