Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Prof Jay ajisafisha kwa Afande Sele, Alikiba

Jumamosi , 25th Mar , 2017

Mkongwe wa hip hop bongo, Joseph Haule ' Prof Jay' amekanusha kuwa 'disi' wasanii wenzake akiwepo Alikiba pamoja na Afande Sele kwenye wimbo wake mpya wa 'Kibabe'.

Prof Jay (kulia) akiwa na Afande Sele

Katika ngoma hiyo, kuna mstari usemao 'Mwambieni mfalme wenu siti yangu aifute vumbi', mstari ambao umekuwa ukizusha hisia kuwa ni dongo kwa Afande Sele ambaye amewahi kupata taji ya Mflame wa Rymes. na kudai mashairi ya kawaida ambayo alimua kuyaweka. 

Akiongea kwenye eNewz ya EATV Prof. Jay amesema mstari huo ni wa kawaida na siyo dongo kwa mtu yeyote na wala hajawahi kuwa na tatizo na wasanii hao wawili hivyo ni vigumu sana kuwasema kwa kutumia wimbo kwa kuwa ni watu anaowaheshimu.

Kuhusu harakati za kisiasa, Jay amesema licha ya Afande Sele kuwa chama tofauti, si miongoni mwa wasanii waliojitokeza kumpinga wakati akigombea ubunge katika jimbo la Mikumi.

'Afande Sele mimi ninamuheshimu toka yupo CHADEMA kabla hajaenda ACT na hata wakati tunaanza harakati za kugombea kila mmoja alimtakia mwenzake kila la kheri, kingine mimi mpaka leo mtu nayemuheshimu katika utunzi wa mashairi nikiwataja kina Jay Moe basi Afande siwezi kumuacha, Alikiba mimi ni mdogo wangu na mimi ni shabiki wake analijua hilo sasa sielewi haya maneno yametoka wapi." - Alisema Prof Jay.

Huyu hapa Prof katika eNewz.....

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine