Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Nikki awalilia mabinti kunyimwa elimu

Ijumaa , 23rd Jun , 2017

Baada ya Rais Magufuli kuweka wazi kwamba hakuna mwanafunzi atakayerudi kurudi shule baada ya kupata ujauzito, Msanii Nikki wa pili amedai kwamba mabinti mjamzito anahitaji kupatiwa elimu pamoja na msaada wa kisaikolojia kwani bado wananyanyapaliwa.

Msanii Nikki wa Pili

Nikki ametumia mitandao yake ya kijamii kuzunguumzia suala hilo amabalo limeua mijadala tofauti tangu jana baada ya kauli ya Rais kutolewa jana alipokuwa Bagamoyo kwenye ziara yake, na kusema kuwa familia nyingi zimepoteza watoto kutoka na utoaji wa mimba.

"Huko uswahilini kwetu kuna familia zimebaki na makovu ya kuwapoteza watoto wao walipokuwa wakijaribu kuwatowa ujauzito ili kuwaepusha na unyanyapaa wa kijamii kusemwa na kuoneshwa vidole. tafiti zinasema hata kwa watu wazima nao mimba yingi nizile zisizo za kutarajia ndio mana mimba laki 5 hutolewa kila mwaka. so kama wao linawashinda vipi kwa watoto" Nikki aliandika.

Ujumbe wa Nikki kwenye ukurasa wa Twitter

Nikki amezidi kufunguka kuwa suala la kumnyima binti elimu bado litakuwa na changamoto hasa kusababisha malezi ya mtoto kudorora

"Mimi nadhani msichana mjamzito anahitaji kuelimishwa zaidi kulindwa zaidi na kupewa msaada wa kisaikolojia, maana kwenye jamii bado kuna unyanyapaa.......baba atafungwa jela, mama akifukuzwa shule mtoto atalelewa na nani? Hili swala linahitaji tafakari zaidi ndio mana jamii yenyewe haya mambo huwa hawaya peleki mahakamani tujiulize kwanini?

\

Ujumbe wa Nikki kwenye ukurasa wa Twitter

Pamoja na hayo Nikki ameongeza kwamba "Namkubali sana Rais wetu kwa mambo mengi mazuri na ana nia njema.....lakini hili la mimba sijui labda wazazi wenyewe watowe maoni yao.

Ujumbe wa Nikki kwenye ukurasa wa Instagram

HABARI ZAIDI

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria