Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Nikki : Makampuni ya kigeni yataifishwe

Jumatatu , 19th Jun , 2017

Hit maker wa ngoma ya 'Quality Time', Nikki wa Pili amefunguka na kushauri kwamba  makampuni ya kigeni yanayopewa nafasi ya uwekezaji nchini yataifishwe ili kutoa nafasi kwa wazawa kuendelea na biashara hiyo ikiwa ni pamoja na kusaidia kutoa ajira.

Msanii Nikki wa Pili

Nikki amefunguka hayo ikiwa ni siku chache tangu  kupata nafasi ya kuhudhuria uwasilishwaji wa ripoti za  mchanga wa dhahabu (Makanikia) Ikulu, na kusema kwamba uwizi wa rasilimali haujaanza kufanyika leo hivyo ni vyema Serikali ikaachia sehemu nyeti kama madini wakapatiwa watanzania.

"Ripoti zote zimeshaonesha ni kwa jinsi gani tumeibiwa vya kutosha, hapa ningeishauri kwamba makampuni yote yanayosimamiwa na wageni kutoka nje yataifishwe na wazawa wakabidhile kuyaendeleza.  Wawekezaji wanakwepa kodi kwa kusaidiwa na viongozi  pamoja na wanasiasa wanaowapunguizia hizi kodi hivyo kwa namna moja au nyingine huu ni uwizi" - alisema Nikki

Nikki amezidi kwenda mbali kwa kutoa mifano kama "Kwa mfano sehemu kama Bulyanhulu kulikuwa na wachimbaji wadogo wadogo laki tatu amekuja muwekezaji mmoja wale wote wameondolewa walioajiriwa hawafiki hata elfu kumi hivyo ajira zaidi ya laki mbili imepotezwa, hii siyo tena uzalishaji wa ajira bali upokaji.  sasa hivi Arusha hakuna tena kina Papa King wapya kwa sababu ya wawekezaji walioingia migodini- Nikki aliongeza.

HABARI ZAIDI

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria

Coaster iliyoparamia nyumba Bukoba

Tisa wanusurika kifo Kagera