Picha ya msanii Nay wa Mitego
Kupitia EATV & EA Radio Digital, Nay anasema ikitokea mtu au mshkaji wake ameachana na mpenzi wake halafu yeye akampenda basi anamchukua na wasilaumiane katika hilo ila ni makosa kumchukua mke wa mtu.
Zaidi mtazame hapa akizungumzia hilo.