Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Nay wa Mitego atangaza hali ya hatari

Jumatano , 15th Feb , 2017

Rapa Nay wa Mitego ambaye sasa anafanya vyema na wimbo wake wa mapenzi 'Sijiwezi' amefunguka na kusema kesho Alhamisi, Februari 16 anaachia kazi ambayo itakuja kuleta shida nyingine mjini.

Nay wa Mitego akiwa Kikaangoni

Akiongea kwenye kipindi cha KIKAANGONI kinachorushwa LIVE kupitia ukurasa wa facebook wa EATV, Nay wa Mitego amesema sasa ni wakati wake na ni muda wa kuwapa burudani wale mashabiki zake wa hip hop ambao wamemzoea kumuona Nay wa Mitego kwenye michano na kurekebisha watu tabia.

Akiielezea kazi hiyo aliyoipa jina la 'Muda Wetu' Nay wa Mitego amedai kuwa hivi sasa ni wakati wa wasanii fulani fulani kufunga vilago kabisa na kuondoka katika game kwani tayari huu siyo muda wao lakini pia hawatakiwi hata kujipanga upya bali wanatakiwa kuondoka kabisa.

Kuhusu kuwa na hofu ya kufungiwa na Baraza la Sanaa Tanzania BASATA, Nay amesema hafanyi kazi kwa kuihofia BASATA "Sifanyi muziki kwa kuangalia kama utafungiwa na basata au hautafungiwa"

Mbali na hilo Nay wa Mitego anasema katika maisha ya kawaida yeye amekuwa mwekezaji mzuri sana kwenye ardhi hivyo anatumia nafasi hiyo kujipanga na maisha yake ya baadaye kwa kuwekeza vya kutosha kupitia ardhi.

 

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine