Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Maana ya kifaransa alichoimba Alikiba

Jumanne , 19th Jan , 2021

Msanii wa Bongofleva Alikiba amesema moja ya sababu kubwa ya kuimba kwa lugha ya kifaransa kwenye ngoma yake mpya Infidele ni kutokana na lugha hiyo kutumiwa na watu wengine duniani hivyo kuna uwezekano wa muziki wake kuwafikia watu wengi.

Alikiba

Alikiba amefunguka hilo leo Januari 19, 2021 kwenye Planet Bongo ya East Africa Radio, ambayo huruka Jumatatu mpaka Ijumaa saa 7:00 mchana hadi saa 10:00 jioni.

''Nilifikiria tu kuwa jamii ya watu wengi duniani wanaongea kifaransa hivyo nikaona ni jambo zuri, japo kwenye matamshi ilikuwa kazi kubwa sana na nitoe shukrani kwa msichana mmoja anaitwa Aaliyah, wakati nikiwa Afrika Kusini naandika huu wimbo alinisaidia sana'', amesema Alikiba.

Aidha amekiri kuwa yeye sio mtalaam sana wa lugha hiyo lakini amekuwa akijifunza taratibu na sasa ameelewa hata matamshi hayamsumbui sana. Lakini pia ameelezea maana ya kifaransa alichoimba.

''Kiukweli mimi sio mfaransa ila nimejifunza, nilichoimba kwenye kipande cha kifaransa ni kama marudio tu ya verse ya kwanza ila imebadilika lugha tu, lakini ujumbe ni ule ule'', amefunguka Alikiba.

Jana Jumatatu Januari 18, 2021, mwimbaji huyo aliachia ngoma yake mpya inayoitwa Infidele ambayo ndani ameimba baadhi ya mashairi kwa lugha ya kifaransa.
 

HABARI ZAIDI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali