Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Dogo Janja, Faiza, Shilole, Madee wafanya maamuzi

Jumatano , 28th Oct , 2020

Leo ni Oktoba 28 ni siku ambayo wananchi wa Tanzania wanapata nafasi ya kuchagua viongozi watakaowaongoza kwenye miaka mitano ijayo kuanzia Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani.

Picha ya kati ni Faiza Ally, kulia ni Dogo Janja, kushoto ni kitambulisho alichotumia msanii wa filamu Riyama Ally

Hawa hapa ni baadhi ya mastaa ambao tayari wameshapiga kura kwenye vituo vyao walivyojiandikishia ambapo wameshea picha, video na maandishi kwenye mitandao yao ya kijamii zikiwaonyesha wameshamaliza kufanya tukio hilo ili kuhimiza watu wengine wakapige kura.

"Nimepiga kura, Uchaguzi wa amani Tanzania" msanii Quick Rocka 

"Ni haki yako usiipoteze, piga kura" msanii Dogo Janja 

"Nimepiga kura, nina furaha nimejipa haki yangu, sehemu za uchaguzi ziko salama sana, nimefurahi kuona amani na utulivu kila nilipopita, Mungu naomba endelea kutupa amani katika nchi yetu, naipenda Tanzania yangu" Mfanyabiashara Faiza Ally 

"Alhamdulilah nimeshatimiza wajibu wangu, nawaombea mashabiki zangu na marafiki zangu uchaguzi mwema, tukimaliza kupiga kura turudi nyumbani kufuatilia matokeo katika TV na Radio, mimi nipo hapa sebuleni nafuatilia matokeo, Tanzania yetu, amani yetu, urithi wetu" msanii wa filamu Riyama Ally 

"Nimetimiza haki yangu ya msingi" msanii Madee Seneda 

"Nimefurahi sana nimetimiza haki yangu ya msingi" msanii Shilole

HABARI ZAIDI

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90