Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Dance 100% Nusu Fainali 'Moto' Leo

Jumamosi , 19th Sep , 2015

Nusu fainali ya mashindano makubwa ya Dance 100% 2015, leo hii imekuwa ndio habari ya mjini ambapo makundi 10 yenye uwezo mkubwa wa kudansi wamekuwa na kibarua cha kushindanisha uwezo wao ili kuwezesha kupata makundi 5 bora zaidi yatakayoingia fainal

Dance 100% 2015

Ushindani mkali ambao haukuwahi kushuhudiwa juu ya jukwaa la kisasa kabisa umekuwa dhidi ya makundi yote ya Quality Boys, The WD, Cute Babies, The Best, Team Makorokocho, Team ya Shamba, Wazawa Crew, Best Boys Kaka Zao, Majokeri na The Winners Crew, wote hawa wakiwania nafasi 5 za kutinga fainali za michuano hiyo.

Mpambano huo ambao leo umefanyika kwa mizunguko miwili, unaendelea kuendeshwa kwa umakini mkubwa kabisa na kuamuliwa na majaji Super Nyamwela, Queen Darleen pamoja na Shetta wakiongezeka wawili wapya na kufanya jumla ya majaji katika hatua hii kufikia watano.

Baada ya mzunguko huo, sasa macho ni kwenye hatua ya fainali ambapo kitita cha fedha taslim shilingi milioni 5 za Tanzania ndio zawadi kubwa inayowaniwa, swali kubwa likibaki kuwa ni nani atakayeibuka mshindi wa kitita hicho.

Ni Burudani mwanzo mwisho, Dance 100% 2015.

HABARI ZAIDI

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria