Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Alikiba aomba msaada kwa watanzania

Jumatano , 23rd Mei , 2018

Msanii wa Bongo Fleva mwenye 'hit song' ya 'Mvumo wa Radi' Alikiba a.k.a King kiba amefunguka na kuwaomba watanzania wanaopenda soka nchini Tanzania kiujumla wamchagulie kikosi bora wanachokikubali kutoka katika timu tofauti kwenye ligi kuu.

Alikiba ametoa kauli hiyo ikiwa zimebaki siku chache kuelekea mchezo wa kirafiki unaotarajiwa kuchezwa Juni 9, 2018 katika dimba la Taifa Jijini Dar es Salaam ambapo lengo kubwa la mchezo huo ni kuhamasisha uchangiaji wa vifaa na ujenzi wa miundombinu mashuleni. 

"Kwa kutambua umuhimu wa elimu nchini nimeamua kuwa balozi wa kujitolea na siku ya Juni 9 nitacheza mchezo wa kirafiki uwanja wa Taifa kuhamasisha uchangiaji wa vifaa na ujenzi wa miundombinu mashuleni. Tukutane Taifa naomba unichagulie kikosi bora unacho kikubali kutoka timu tofauti katika ligi ya Tanzania Bara", amesema King Kiba.

Katika mchezo huo wa kirafiki Alikiba anatarajiwa kuwa nahodha wa kikosi ambacho atasaidiwa kuchaguliwa na 'followers' wake wa mitandao ya kijamii pamoja na wale wanaoshabikia muziki wake wa bongo fleva na wengine.

HABARI ZAIDI

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90