Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Dawa alizokamatwa nazo Chid Benz

Jumatatu , 18th Jun , 2018

Msanii wa Bongo Fleva Rashidi Abdala maarufu kama Chid Benz anashikiliwa na Jeshi la Polisi Jijini Dodoma kwa tuhuma za kukutwa na dawa za kulevya aina ya Bhangi zinazodaiwa kufikia gramu tano (5)

Akizungumza na eatv.tv Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoani Dodoma, Gilless Muroto amethibitisha kukamatwa kwa Chid Benzi na kusema kwa sasa yupo kituo cha kati ikiwa ni mara ya pili kukamatwa kwa msanii huyo ndani ya mkoa huo.

Aidha, Kamanda Muroto amesema wasanii watumie vyeo vyao kwa kufanya shughuli nzuri zinazowaingizia kipato na ziwe zinazokubalika na jamii na kisheria pia na sio kufanya biashara ambazo sio halali na zipo kinyume na sheria za nchi.

"Kwa mtu yoyote anaefanya biashara haramu kwa kuona yeye ni mtu fulani ajue sheria haichagui aina ya mtu au cheo ila sheria inafanya haki kwa kila mtu kama unakuwa na hatia basi sheria itakuadhibu", amesema Muroto.

Kwa upande mwingine, Kamanda Muroto amewataka wasanii kuwa makini, wasifanyishwe biashara na watu au wao kufanya biashara ambazo ni haramu pia wawe wa kwanza kuelimisha jamii na kupiga vita ya dawa za kulevya  na kupinga biashara zozote ambazo zipo kinyume na sheria.
 

HABARI ZAIDI

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria

Coaster iliyoparamia nyumba Bukoba

Tisa wanusurika kifo Kagera