Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wekezeni kwenye elimu - Goodluck Ole Medeye

Ijumaa , 12th Sep , 2014

Wananchi wametakiwa kuwekeza katika elimu, kwani ndio njia pekee ya kuweza kujikwamua na umaskini kwa kuwa na idadi kubwa ya vijana waliosoma na wenye uwezo wa kufanya shughuli mbalimbali.

Mbunge wa Arumeru Magharibi, Godluck Ole Medeye (kushoto) akiteta jambo na waziri Mkuu Mizengo Pinda bungeni mjini Dodoma hivi karibuni.

Hayo yamesemwa jana na Mbunge wa Arumeru Magharibi , Godluck Ole Medeye wakati akizungumza katika harambee ya kuchangia bweni la wasichana la shule ya sekondari Lonange,Jijini Arusha ambapo jumla ya shilingi milioni 24 zimepatikana, huku kiasi kilicholengwa kuchangwa ni shilingi milioni 100.

Amesema swala la kuwekeza katika elimu linawahusu wadau mbalimbali pamoja na wazazi kwa ujumla, ili kuwezesha watoto waweze kuwa na shughuli za kufanya pindi wanakapohitimu masomo yao na kuondokana na changamoto ya ajira.

Medeye ameitaka jamii kuwa na mwamko katika kuchangia shughuli za maendeleo mashuleni, ikiwemo ujenzi wa mabweni na maabara, ili kuwawezesha wanafunzi kupata elimu iliyo bora na kuongeza kiwango cha ufaulu.

HABARI ZAIDI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali