Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Waziri atoa maagizo haya kwa Polisi wa Airport

Jumapili , 10th Jan , 2021

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene ameagiza maofisa watano wa polisi katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) kuchukuliwa hatua za kinidhamu baada ya intelijensia yake kubaini wanajihusisha na matukio ya ukiukwaji wa maadili.

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene.

Simbachawene ametoa agizo hilo akiwa kwenye muendelezo wa ziara yake katika vikosi mbambali vya jeshi la polisi kanda ya Dar es salaam kwa ajili ya kukagua na kufanya tathmini ya utendaji kazi na kusema Serikali itaendelea kuwachukulia hatua za kinidhamu wanaochafua heshima ya jeshi hilo.

Nimewataja kwa majina na nimewakabidhi hawa viongozi na tutawachukulia hatua za kinidhamu kwa sababu tuna taarifa za kiintelijensia wanafanya vitendo hivyo ikiwamo kubabaisha abiria wakati wa kuondoka, wakiona abiria huyu ana uwezo wa kifedha wanafanya ubabaishaji,” amesema.

Simbachawene amesema licha ya kabainika kutumia nafasi zao kutapeli baadhi ya abiria maofisa hao wamebainika pia  wanajihusisha na mtandao wa kusafirisha mabinti kwenda kufanya kazi za ndani katika nchi za uarabuni .

Sambamba na hilo Simbachawene, ameagiza  taarifa zote za majanga ya moto na maokozi katika mikoa yote nchini zitolewe na Jeshi la Zimamoto na Uokoaji na siyo vyombo vingine vya ulinzi na usalama wala taasisi zingine.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine