Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wauguzi Dar wadai kulipwa stahiki zao

Jumatano , 2nd Sep , 2020

Baadhi waliokuwa wafanyakazi wa Hospitali ya Tumaini iliyokuwa Upanga Jijini Dar es Salaam wameiomba serikali kuingilia kati hatima yao kufuatia kudai kuondolewa kazini bila ya kulipwa stahiki zao za msingi.

EATV  imekutana na kundi hilo la waliodai kuwa wafanyakazi wa ngazi ya uuguzi wakiwa katika maandamano ya pamoja wakitafuta taasisi inayoweza kuwapa msaada wa kisheria kwa kuwa hawana uwezo wa kufanya hivyo.

Awali wakielezea sakata zima wamesema yalikuwepo madai ya Hospitali kushindwa kujiendesha ndipo akapewa jukumu Erick Mramba kama mfilisi ili kusimamia uuzwaji wa mali zote na ulipwaji wa madeni pamoja na stahiki za watumishi ikiwemo mishahara na kuinua mgongo lakini malipo yao hao yamekuwa na msuguano na kukwama.

Kutokana na madai hayo yaliyoekekezwa kwa Mfilisi Erick Mramba EATV ikamtafuta kutoa maelezo yake kuhusiana na mchakato huo alivyoumsimamia pamoja na kutaka kujua ukweli kuhusiana na madai hayo ya wafanyakazi.

HABARI ZAIDI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali