Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Watumishi wa umma si wawajibikaji- Rais Mwinyi

Alhamisi , 8th Jul , 2021

Rais wa Zanzibar Dkt. Hussein Ali Mwinyi amesema moja ya tatizo kubwa walionalo watumishi wa serikali ni uwajibikaji katika kuleta maendeleo kwa wananchi.

Rais wa Zanzibar Dkt. Hussein Ali Mwinyi

Dkt. Mwinyi ametumia ukurasa wake wa mtanado wa kijamii wa Twitter leo, kuainisha kile kilichojiri mara baada ya baadhi ya watumishi kusikia juu ya ziara yake katika eneo la Welezo wahusika hivyo kutatua tatizo la wananchi.

“Tatizo kubwa la watumishi Serikalini ni uwajibikaji, nimesikia maji yameanza kutoka baada ya kusikia nakuja hapa Welezo,” amesema Rais Dkt. Mwinyi.

Rais Dkt. Mwinyi anafanya ziara ya wiki moja katika mikoa mitatu ya Unguja kukagua miradi mbalimbali ya maendeleo ambapo leo hii anafanya ziara katika Mkoa wa Mjini Magharibi, Welezo.

Aidha Dkt. Mwinyi ametoa agizo kwa watendaji wote wa Serikalini kwa upande wa elimu, afya, barabara na maji waje na mpango wa kudumu kwa kipindi cha mwezi mmoja.

HABARI ZAIDI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali