Kamanda wa TAKUKURU mkoa wa Geita Leonidas Felix (katikati).
Kamanda wa TAKUKURU mkoa wa Geita Leonidas Felix amesema mbali na watendaji hao 30 wa Vijiji pia imewakamata watumishi wawili, Mkea Wambura (Afisa afya) na Emmanuel Madirisha mwanafunzi kutoka chuo cha Muhimbili baada ya kupokea malalamiko kuwa wameomba rushwa kutoka kwa mmiliki wa kiwanda
''Tulipokea malalamiko kutoka kwa mmiliki wa Kiwanda kidogo cha kubangua Korosho ili wasimkamate baada ya kumkuta na mapungufu hivyo wakaomba rushwa kiasi cha shilingi laki moja,'' amesema Kamanda Leonidas Felix.
Tazama Video hapo chini