Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Watekaji watatu wa magari wauawa

Jumatano , 1st Dec , 2021

Watu watatu wanaodhaniwa kuwa ni majambanzi wamepoteza maisha katika wilaya ya Biharamulo mkoani Kagera, baada ya kutokea majibizano ya risasi baina ya polisi na watu hao, usiku wa kuamkia leo Desemba 01, 2021, majira ya saa 8:00 usiku.

Kamanda wa Polisi mkoa wa Kagera Awadhi Haji

Kamanda wa polisi mkoani Kagera Awadhi Haji, amesema kuwa polisi walipata taarifa za siri kuwa kuna kundi la watu saba wanaodhaniwa kuwa ni majambazi wameonekana katika milima ya Nyabugombe, Kata ya Nyakahura wilayani humo, na kwenda kukabiliana nao.

"Watu hawa walikuwa wanajiandaa kuteka magari na kufanya uporaji wa mali za watu katika eneo hilo, lakini kwa kuwa tulipata taarifa mapema tulifanikiwa kuwadhibiti kabla ya kutekeleza uhalifu," amesema Kamanda Awadhi.

Kamanda huyo amesema kuwa walipofika eneo la tukio waliwaona watu hao wakiwa wamevalia makoti marefu na kwamba walipowaamrisha kusimama ili wakaguliwe, ghafla walianza kuwarushia risasi polisi, nao wakaamua kujibu mapigo na kufanikiwa kuwajeruhi watu watatu na wanne wakafanikiwa kukimbia na eneo la tukio imepatikana bunduki moja aina ya AK 47 na risasi 51.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine