Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Washiriki DSE Scholar Challenge wazidi kuongezeka

Jumatatu , 9th Mei , 2016

Idadi ya wanafunzi wanaoshiriki shindano linalolenga kuongeza uelewa wa uwekezaji katika masoko ya mitaji na dhamana nchini imekuwa ikiongezea kwa kasi ambapo hadi sasa jumla ya wanafunzi 3,160 wameajiandikisha kushiriki.

Meneja Miradi na Biashara wa Soko la Hisa la Dar es Salaam Bw. Patrick Mususa

Kwa sasa wanafunzi hao wanaendelea na ununuzi wa hisa na dhamana kwenye Soko la Hisa la Dar es Salaam – DSE, kutokana na mtaji wa shilingi milioni moja ambayo kila mwanafunzi amepewa ili aweze kushiriki shindano hilo.

Meneja Miradi na Biashara wa soko hilo Bw. Patrick Mususa amesema hayo leo wakati akitoa taarifa ya mwelekeo wa biashara na mauzo katika soko hilo katika kipindi cha juma moja lililopita ambapo kumekuwa na mwamko wa wanafunzi kushiriki shindano hilo ambalo litatoa matokeo chanya ya ongezeko la ushiriki wa Watanzania katika masuala ya uwekezaji.

Kuhusu mwelekeo wa biashara, Mususa amesema katika kipindi cha juma moja lililopita, mauzo katika soko hilo yameongezeka mara nne na kufikia fedha za Tanzania shilingi bilioni saba kutoka shilingi bilioni 1.76 huku idadi ya hisa zilizouzwa na kununuliwa ikiwa imepanda kwa asilimia 96 wakati mtaji wa makampuni ya ndani ukiwa umepungua kutoka shilingi trilioni 8.5 hadi shilingi trilioni 8.4.

HABARI ZAIDI

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90