Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Washindwa kusali baada ya kanisa kubadilishwa jina

Jumatatu , 5th Dec , 2022

Waumini wa kanisa la EAGT jimbo la Mwanza kusini wamekumbwa na taharuki baada ya kukuta kanisa lao limebadilishwa jina bila wao kujua hali iliyozua mzozo katika kanisa hilo na kusababisha shughuli zote za ibada kukwama

Wakizungumza na EATV viongozi wa kanisa hilo wamesema mgogoro huo uliibuka siku nne zilizopita lakini ghafla wakashangaa Jumapili wakakuta jina la kanisa hilo limebadilishwa na kuandikwa ASSEMBLIES OF GOD GOSPEL CHURCH INTERNATIONAL AGGCI na wakishindwa kuelewa nini kimetokea huku umiliki wa eneo hilo ukisoma kwa jina la kanisa la EAGT

Mchungaji Boaz Kazeba ndiye anadaiwa kubadilisha kanisa hilo la EAGT na kuwa AGGCI lililopo eneo la Bugarika mtaa wa Zahanati kata ya Pamba jijini Mwanza

"Sikutaka nifanye kitu chochote kile lakini umesikia wameniita mimi gaidi sijui muhuni, elishababu sijui nashangaa na huyo aliyesema mimi ni muumini wangu wa zamani anayosema ametoa kiwanja ana vielelezo? Hapa sisi tulimjengea mtu nyumba ya vyumba vitatu na maandishi ninayo siyo kama nazungumza kitu ambacho hakipo" ameeleza mchungaji Boaz

Mwenyekiti wa serikali ya mtaa wa Zahanati Mashaka Nkonyoka amesema bado kanisa hilo lipo chini ya umiliki wa EAGT

"Lakini kimsingi kanisa hilo linaendeshwa na EAGT kama waanzilishi wa kanisa hilo siku zote ipo hivyo sasa imetokea kama wiki moja iliyopita mchungaji wa kanisa hilo Boazi Kazeba kubadilisha jina la kanisa hilo kutoka EAGT  na kuwa AGGCIA yani kanisa jipya"

Hadi EATV inatoka katika eneo hilo bado kanisa hilo lilikuwa limefungwa huku viongozi wa pande zote mbili wakipelekwa polisi kwa ajili ya mahojiano ili kutafuta suluhu ya mgogoro huo
 

HABARI ZAIDI

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria