Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wapinzani wataka mahakama maalumu ya uwekezaji

Ijumaa , 14th Nov , 2014

Serikali ya Tanzania imetakiwa kuanzisha mahakama maalumu itakayokuwa na jukumu la kushughulikia masuala na kesi zinazohusu uwekezaji.

Katibu Mkuu wa chama cha Upinzani cha CCK nchini Tanzania Renatus Muhabi.

Kauli hiyo imetolewa leo jijini Dar es Salaam na vyama vitano visivyo na uwakilishi bungeni kupitia kwa mwenyekiti wa kamati maalum ya maatibu wakuu wa vyama hivyo Bw. Renatus Muhabi.

Kwa mujibu wa Muhabi, mahakama ya uwekezaji itakuwa na jukumu la kushughulikia kwa haraka kesi na mashauri yote yanayohusu uwekezaji, ambapo ametolea mfano wa sakata la IPTL na tuhuma za ufisadi katika akaunti ya Tegeta Escrow ni moja ya mambo ambayo yangeweza kushughulikiwa ipasavyo na mahakama hiyo.

Aidha Muhabin ameongeza kuwa Watanzania hawaridhishwi na dana dana inayoendelea kutokea katika sakata la IPTL na kwamba kuna haja ya waziri Mkuu Mizengo Pinda kupima utendaji wake hasa hatua alizochukua katika kushughulikia sakata la IPTL.

Muhabi amesema kuwa akiwa kama msimamizi mkuu wa shughuli za serikali, Waziri Mkuu Mizengo Pinda alitakwa awe amechukua maamuzi ya kuepusha madhara yanayojitokeza kutokana na sakata la IPTL, hasa namna nchi hivi sasa inavyokosa misaada ya wahisani kutokana na tuhuma za ufisadi zinazohusiana na sakata hilo.

HABARI ZAIDI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali