Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wananchi watumia mapanga kuwatimua mafundi bomba

Jumatano , 9th Jun , 2021

Mkuu wa wilaya ya Bukoba mkoani Kagera Deodatus Kinawiro amepiga marufuku vitendo vya wananchi kuwatishia kwa mapanga mafundi wanaotandaza mabomba ya maji katika kijiji cha Rwagati kata ya Kemondo Bukoba Vijijini.

Mkuu wa wilaya ya Bukoba mkoani Kagera Deodatus Kinawiro

Ameongeza kuwa watakaorudia vitendo hivyo watachukuliwa hatua za kisheria maana kufanya hivyo ni kosa la jinai.

Akizungumza wakati wa ziara yake ya kukagua miradi mbalimbali ikiwamo ya maji, mkuu huyo wa wilaya amesema kuwa serikali imeweka gharama kubwa ya shilingi bilioni 14.8 kwa ajili ya kuhakikisha inaondoa kero ya maji kwa wananchi wa kata Kemondo na vijiji jirani, na kwamba ili mradi huo utekelezwe kwa ufanisi  wananchi wanapaswa kutoa maeneo yao kidogo kwa ajili ya kupitisha mabomba.

Kwa upande wake mwenyekiti wa kijiji Rwagati ulikotokea mtafaruku huo Yahya Nuru amesema kuwa wananchi wake walilalamikia mafundi hao kukata migomba yao katika maeneo ambayo hawakukubaliana awali lakini akadai kwa sasa wamekwishakubali kutoa maeneo yao kuruhusu mabomba ya maji yapite, huku mmoja wa wananchi akidai hana mgogoro tena na mafundi hao.
 

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine