Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Waislamu watakiwa kudumisha amani

Jumamosi , 27th Mei , 2017

Waumini wa dini ya kiislamu nchini wametakiwa kuutumia vizuri mwezi mtukufu wa Ramadhan kwa kufanya matendo mema pamoja na kudumisha amani ndani ya taifa la Tanzania

Muft wa Tanzania, Sheikh Abubakary Zubery

 

Wito huo umetolewa na Mufti wa Tanzania, Sheikh Abubakary Zubeiry Ally wakati akizungumza na Hotmix ya EATV kuhusu kuanza kwa mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhan na kusema kuwa katika kipindi hiki waislamu wanapaswa kuwasaidia watu wasiokuwa na uwezo wakiwemo, yatima na watu wengine.

“Nchi ikikosa amani hata shughuli nyingine za maendeleo na ibada haziwezi kufanyika kama inavyopaswa, hivyo basi ni muhimu kwa waislamu nchini kuwa mfano wa kudumisha amani na upendo”. Alisema Mufti

Sheikh Zubery, ameongeza kuwa katika mwezi huo Mtukufu wa Ramadhan Waislamu wanatakiwa kuishi kwa mapenzi na upendo, ikiwa ni pamoja kuwangalia na kuwasaidia wale wasiokuwa na uwezo wakiwemo, mayatima na watu wengine wasiojiweza.

Katika hatua nyingine naye, Sheikh wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhadi Mussa Salum amewasihi waislamu kiujumla kuutumia mwezi mtukufu wa Ramadhan katika kuiombea nchi pamoja na kusameheana kwa waliokoseana bila ya kusahau kutoa misaada kwa watu wasiojiweza.

HABARI ZAIDI

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90