Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

''Wahanga Karume watafutiwe eneo'' - RC Makalla

Jumapili , 16th Jan , 2022

Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Amos Makalla,amewaomba wahanga wa moto Soko la Karume kuwa watulivu, kwani inaundwa kamati ya kuchunguza chanzo cha moto katika Soko la Karume ambapo vyombo vyote ya ulinzi na usalama pamoja na Afisa Biashara Jiji na mkoa wataingia kwenye kamati hiyo.

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Amos Makalla akiwa Soko la Karume

Makalla ameyasema hayo leo Januari 16, 2022 baada ya kufika eneo la Karume Ilala Jijini Dar es salaam kujionea hali ya Soko la Karume ambalo limeteketea kwa moto alfajiri ya leo.

''Serikali itafanya jitihada ya kuhakikisha kwamba tunajua chanzo lakini pia tunakuja na suluhisho ya sisi kurejea katika kufanya biashara baada ya kupokea taarifa na maamuzi ya nini kifanyike katika soko hili,'' ameeleza Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Amos Makalla.

''Tuwaombe muwe watulivu. Majanga haya yanapotokea yanahitaji maneno ya faraja kama ambayo tunawapa, lazima tutafute njia mbadala ili maisha yaendelee," amesema Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Amos Makalla.

''Si rahisi leo ukadhani kwamba baada ya hapa tutaacha tu kamati ifanye kazi, watu hawa walioko hapa lazima maisha yaendelee na ili maisha yaendelee ni maelekezo yangu kwamba Uongozi wa Jiji la Dar ukiongozwa na DC na Uongozi wa Soko, tuangalie namna ambavyo tunaweza kuwasaidia Wafanyabiashara hawa katika masoko ya jirani,'' ameongeza Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Amos Makalla.
 

HABARI ZAIDI

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria