Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wafanyabiashara Misungwi wafunga kisa kodi

Jumatatu , 25th Mar , 2024

Mgomo wa wafanyabiashara wilayani Misungwi mkoani Mwanza, umeingia siku ya nne tangu walipoanza Ijumaa wiki iliyopita wakilalamikia kodi.

Wafanyabiashara

Kwa mujibu wa wafanyabiashara hao wanadai hawakupewa elimu kuhusu kodi hiyo ya huduma (Service levy) huku wakilalamikia kudaiwa kwa nguvu.

Aidha, wamesema hawatakuwa tayari kufungua biashara zao iwapo hawatasikilizwa na kufanyiwa kazi malalamiko yao.

"Tatizo kubwa ni tozo ambazo tumekuwa tukiletewa pasipokuwa na elimu yoyote, zipo juu ya uwezo wa mfanyabiashara na wanadai kwa nguvu, kwahiyo tumeamua kugoma kwa muda usiojulikana hadi watusikilize," amesema mmoja wa wafanyabiashara hao.

Pamoja na uongozi wa wilaya hiyo akiwemo Katibu tawala na Mkuu wa upelelezi mkoa wa Mwanza kufika kwa nyakati tofauti kuwataka wafungue biashara bado wameendelea na msimamo wao.

HABARI ZAIDI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali