Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wabunge CHADEMA watetewa

Jumatano , 16th Mei , 2018

Mwenyekiti wa Baraza la Vijana la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (BAVICHA), Patrick Ole Sosopi, amesema Wabunge wa CHADEMA kutolewa Bungeni sio kwasababu ya mapungufu yao bali ni uimara na uwezo wao wa kujenga hoja.

Sosopi ameyaeleza hayo leo kwenye kipindi cha KIKAANGONI kinachoruka kupitia Ukurasa wa 'Facebook' wa East Africa Television, wakati akijibu swali la mtazamaji juu ya wabunge wa chama chake kutojenga hoja na kuchangia Bungeni kama zamani.

''Tanzania kwasasa tunakumbana na tamaduni mpya ya kisiasa, kwahiyo kutoona wabunge wa CHADEMA wakichangia sio kosa lao, nimpe pole tu mtazamaji kwasababu haoni 'Bunge Live' mana halioneshwi ila wabunge wako imara'', amesema.

Mwenyekiti huyo amewatolewa mfano Mbunge wa Kibamba John Mnyika na Ester Bulaya wa Bunda, kuwa wameonesha uimara na uwezo wao ndio mana wameondolewa Bungeni hivi karibuni kwasababu watawala wanataka kusikia mazuri tu.

Sosopi ameongeza kuwa wanatamani kuona uhuru wa kufanya siasa ukiendelea kama ilivyokuwa zamani na sio kusubiri hadi wakati wa uchaguzi mwaka 2020 ndio wafanye mikutano ya kisiasa.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine