Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wabunge wapewa maelekezo mapya

Alhamisi , 14th Jan , 2021

Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, limewaagiza wabunge wote kuwasili jijini Dodoma, Januari 17, 2021, kwa ajili ya kuanza kwa vikao vya kamati za kudumu za Bunge zitakazoanza rasmi Januari 18 mwaka huu.

Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Taarifa hiyo imetolewa na kitengo cha mawasiliano na uhusiano wa kimataifa cha Bunge, na kueleza kuwa kamati zote za kudumu za Bunge zitafanya uchaguzi wa wenyeviti na makamu wenyeviti.

Aidha wajumbe wa kamati za kudumu za Bunge, watapewa mafunzo mbalimbali ikiwemo juu ya majukumu na taratibu za uendeshaji wa kila kamati, mafunzo kuhusu Bunge mtandao na usalama wa mitandao kwa kamati zote, pamoja na mafunzo kwa kamati za sheria ndogo kuhusu uchambuzi wa sheria ndogo na uzoefu wa mabunge mengine ya nchi zinazofuata mfumo wa kibunge wa jumuiya ya madola.

Mbali na mafunzo hayo pia kamati ya bajeti itapokea na kujadili mambo mbalimbali ikiwemo mapendekezo ya mpango wa maendeleo ya Taifa ya mwaka mmoja, mwongozo wa kuandaa mpango wa bajeti ya serikali kwa mwaka wa fedha 2021/2022, pia itajadili utekelezaji wa bajeti ya serikali pamoja na sheria ya fedha kwa kipindi cha nusu mwaka kwa mwaka wa fedha 2020/ 2021.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine