Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Viongozi wa dini waombwa kuisaidia sumatra 

Jumamosi , 19th Mei , 2018

Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa nchi Kavu na Majini SUMATRA Mkoani Tabora imawaomba viongozi wa madhehebu mbalimbali ya dini kuisadia serikali kuwaelimisha wananchi kuzingatia sheria za usalama barabarani ili kuweza kupunguza ajali mkoani humo

Ombi hilo limetolewa na Afisa mfawidhi wa mamlaka hiyo mkoani Tabora bwana Joseph Maiko wakati akizungumza na East Radio Ofisini kwake.

Amesema viongozi wa dini wanakutana na watu wengi katika nyumba zao za ibada hivyo ni vyema kuisaidia serikali kuwaelimisha wananchi juu ya umuhimu wa kuzingatia sheria za usalama barabarani ili kupunguza tatizo la ajali mkoani humo.

Aidha Bw. Maiko ameongeza kuwa watumiaji wengi wa vyombo vya moto bado hawazingatii sheria za usalama barabarani na hivyo kuwepo kwa ajali nyingi zisizotarajiwa mkoani humo.

Akizungumza kwa niaba ya viongozi wa madhebu ya dini mkoani humo Shekhe Ramadhani Rashidi Juma amesema wao kama viongozi wa dini wamepokea ombi hilo na kuahadi kushirikiana na serikali katika kupunguza tatizo la ajali mkoani humo.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine