Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Uzalendo siyo kutukuza asubuhi hadi jioni"- MCT

Jumatatu , 3rd Mei , 2021

Katibu Mkuu wa Baraza la Habari Tanzania (MCT), Kajubi Mukajanga, amesema kuwa uzalendo kwa nchi siyo kutukuza kuanzia asubuhi hadi jioni bali uzalendo ni kuipenda nchi yako na kuhakikisha mtu anaisema serikali mahali ambapo ataona kuna jambo ambalo halitoleta afya kwa Taifa.

Katibu Mkuu wa Baraza la Habari Tanzania (MCT), Kajubi Mukajanga

Kauli hiyo ameitoa hii leo Mei 3, 2021, kwenye kipindi cha SupaBreakfast cha East Africa Radio, wakati Dunia ikiadhimisha siku ya Uhuru wa Vyomba vya Habari, huku akiwasihi waandishi wa habari kutokubali kuyumbishwa kwa maslahi ya mtu.

"Uzalendo ni kuipenda nchi yako, kuiheshimu na kuwa na uchungu na nchi yako, uzalendo siyo kuipenda serikali, uzalendo siyo kumpenda Rais, uzalendo ni zaidi ya hapo, uzalendo ni uwezo wa kusema serikali hapa imekosea hili jambo si jema kwa nchi yako na kulitamka, uzalendo siyo kutukuza asubuhi hadi jioni,  uzalendo ni kujadili kwa nia njema maendeleo ya nchi", amesema Mukajanga.

Akizungumzia kuhusu suala la mwelekeo wa vyombo vya habari kuwa huru, Mukajanga amesema, "Mwelekeo wa uhuru wa vyombo vya habari upo kwa sababu matamko ya mkuu wa nchi yanabeba uzito mkubwa na matamko ya Rais Samia yanaelekea huko na jukumu letu kama wanahabari tumepewa mazingira ambayo tunaweza tukasema kwa uhuru zaidi, tunaweza tukadai haki zetu pia tunaweza tukaingia katika mjadala wenye tija". 
 

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya