Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Urithi wa Mkapa kwa Watanzania

Alhamisi , 31st Dec , 2020

Usiku wa kuamkia Julai 24, 2020, Tanzania ilipata pigo kubwa baada ya kuondokewa na Rais Mstaafu wa awamu ya tatu, Benjamin William Mkapa, aliyefariki dunia katika moja ya hospitali zilizopo ndani ya jiji la Dar es Salaam, taarifa ambazo zilitolewa na Rais Dkt. John Magufuli.

Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu, Hayati Benjamin William Mkapa, wakati wa uhai wake.

Tanzania ilizizima, mataifa mbalimbali Duniani yaliomboleza na Taifa hili, haikuwa jambo rahisi kwa Rais Dkt. John Magufuli, kutangaza taarifa za kifo cha mtangulizi wake huyo katika madaraka, lakini ombi lake kwa Watanzania lilikuwa ni moja tu kuwa waendelee kuwa watulivu na wamoja katika kipindi hicho cha majonzi makubwa.

Huo ulikuwa ni msiba mwingine mkubwa wa kitaifa baada ya ule wa aliyekuwa Rais wa kwanza wa Tanzania Hayati Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, ambao ulitokea Oktoba 14, 1999, na katika kipindi chote cha maombolezo bendera zote zilipepea nusu mlingoti.

Rais Mkapa, alifariki dunia akiwa na umri wa miaka 81, na kuzikwa kijijini kwao Lupaso, Masasi mkoani Mtwara, ikumbukwe tu alifariki ikiwa imepita miezi takribani nane, tangu alipozindua kitabu chake alichokipa jina la "My Life My Purpose", ambacho kilizinduliwa katika ukumbi wa mikutano wa kimataifa wa Julius Nyerere (JNICC) na Rais Dkt. Magufuli na kuhudhuriwa na marais wengine wastaafu Dkt. Jakaya Kikwete, Mzee Ali Hassan Mwinyi na viongozi wengine.

Mkapa ambaye alizaliwa mwaka 1938 mjini Ndanda, alihitimu shahada yake ya kwanza katika Chuo Kikuu Cha Makerere nchini Uganda na baadaye Chuo Kikuu cha Columbia, ambapo alipata shahada ya uzamili katika taalumu ya mahusiano ya umma, alikuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuanzia mwaka 1995  hadi 2005.

Wakati wa uhai wake amewahi kupata nyadhifa mbalimbali katika ngazi ya mikoa na serikali ya Tanzania zikiwemo Wizara ya Sayansi, Teknolojia na Elimu ya Juu, Wizara ya Mambo ya Nje na katika utawala wake kama Rais, pamoja na masuala mengine ya jitihada za upatanishi atakumbukwa na hatua za ubinafsishaji wa mashirika ya umma nchini.

HABARI ZAIDI

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria

Coaster iliyoparamia nyumba Bukoba

Tisa wanusurika kifo Kagera