Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ukubwa wa mtaji katika soko la hisa waongezeka

Jumatatu , 1st Aug , 2016

Ukubwa wa mtaji katika Soko la Hisa la Dar es Salaam DSE umeongezeka kwa asilimia mbili kutoka fedha za Tanzania shilingi trilioni 23.5 hadi shilingi trilioni 24 kwa mujibu wa taarifa ya mauzo katika soko hilo kwa kipindi cha juma moja lililopita.

Meneja Miradi na Biashara wa DSE Bw. Patrick Mususa

Meneja Miradi na Biashara wa Soko hilo Bw. Patrick Mususa amesema katika kipindi hicho, ukubwa wa mtaji wa makampuni ya ndani nao pia umeongezeka kwa asilimia 1.8 kutoka shilingi trilioni 8.2 hadi shilingi trilioni 8.3.

Mususa amesema hata mauzo sokoni hapo yameongezeka kwa zaidi ya mara tano hadi kufikia shilingi bilioni 21.6 kutoka shilingi bilioni nne kwa juma huku idadi ya hisa zilizouzwa na kununuliwa pia ikiwa imepanda kwa asilimia 43 khadi Milioni 3.9 kutoka Milioni 2.7.

Kwa upande wa viashiria, kumekuwa na ongezeko la pointi mbili kwenye sekta ya viwanda baada ya bei za hisa za TCCL kupanda kwa asilimia 5.88 ingawa bei za hisa za TOL na TPCC zilishuka kwa asilimia 0.62 na 0.87 rasmi.

Sekta ya huduma za kibenki na kifedha hii imepanda kwa pointi 191 baada ya bei kupanda kwenye kaunta za NMB (14.88%) na DSE (7.48%) huku sekta ya huduma za kibiashara ikiwa imebakia kwenye kiwango kile kile cha kama ilivyokuwa juma lililopita.

HABARI ZAIDI

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90