Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ukosefu madini joto hatari kwa wakazi wa Kusini

Jumatatu , 4th Jul , 2016

Kukithiri kwa watoto wanaozaliwa na mtindio wa ubongo na kuharibika mimba kwa kina mama ni miongoni mwa athari zinazoweza kuikumba mikoa ya Lindi na Mtwara kutokana na kukosa matumizi ya chumvi yenye madini joto.

Chumvi

Hayo yameelezwa na Katibu wa Afya wa hospitali ya rufaa ya mkoa wa Mtwara, Ligula, Jenifer Mapembe, baada ya ufunguzi wa semina ya siku moja ya kuwajengea uwezo waandishi wa habari wa mkoa huo juu ya athari zitokanazo na matumizi ya chumvu isiyo na madini joto na namna ya kuielimisha jamii.

Aidha, baadhi ya waandishi wa habari waliopata semina hiyo, wametoa mapendekezo yao juu ya mikakati inayopaswa kufanywa na wadau wa afya kwa kushirikiana na wizara pamoja na vyombo vya habari ili kuiokoa jamii kuondokana na matumizi ya chumvi hiyo.

Mwakilishi kutoka Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamiii, Jinsia, Wazee na Watoto, Omary Gwao, amesema mikakati ya wizara ni pamoja na kutoa mafunzo kwa wanahabari ili waweze kujua ukubwa wa tatizo na kupanga mikakati ya kuweza kuisaidia jamii.

HABARI ZAIDI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali