Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ukikutwa na shamba la bangi, jela miaka 30

Jumapili , 19th Feb , 2017

Kuanzia sasa, kwa mtu yeyote atakayekutwa na shamba la dawa za kulevya aina ya banngi, anaweza kutiwa hatiani na kuhukumiwa kifungo cha kuanzia miaka 30 gerezani

Shamba la bangi tayari kwa kuteketezwa, huku mtuhumiwa wa kilimo hicho akiwa chini ya ulinzi (Picha: Maktaba)

Adhabu hiyo ni kwa mujibu wa Sheria Mpya ya Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na dawa za kulevya, ambayo imeanza kutekelezwa hivi karibuni.

Mbali na adhabu hiyo, sheria hiyo pia imeweka adhabu ya kifungo cha maisha kwa mtu atakayebainika kusafirisha aina yoyote ya dawa za kulevya, pamoja na wale wanaoingiza dawa kutoka nje ya nchi.

Pia sheria hiyo inatoa adhabu ya faini ya shilingi milioni 200 na kifungo cha maisha kwa watakaokutwa na malighafi au maabara za kutengezea dawa za kulevya huku ikiweka adhabu ya kifungo cha miaka mitano na/au faini ya kuanzia shilingi milioni moja kwa mtu atakayekutwa na kiasi kidogo cha dawa cha dawa za kulevya.

Hayo yamebainishwa na Waziri wa Sheria na Katiba Dkt. Harrison Mwakyembe, akiwa kwenye kipindi cha East Africa Breakfast, kwa ajili ya uchambuzi wa sheria hiyo mpya, ambapo pia ameelezea utofauti wa sheria hiyo ya mwaka 2015 na ile iliyokuwepo ya mwaka 1995.

Dkt Harrison Mwakyembe

Amesema lazima kutakuwa na ukosoaji kwa kuwa sheria hiyo ni mpya hsa katika suala la mashahidi, lakini kuna sheria nyingine ya kulinda mashahidi (Whistle Blowers Act), ambayo itasaidia kuwalinda watu wanaotoa taarifa kuhusu wahusika wa dawa za kulevya

Amesema pia serikali iko tayari kupokea maoni kutoka kwa wadau, juu ya nini kifanyike ili kuwadhibiti wahusika wa dawa za kulevya ambao wamekuwa wakiifanyia wema jamii inayowazunguka kwa kiasi kikubwa.

Huyu hapa Dkt Mwakyembe akifafanua

 

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine