Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

TYVA wataka ushirikishwaji wa vijana uongezeke

Ijumaa , 17th Mar , 2023

Asasi ya dira ya vijana nchini TYVA imeiomba serikali na wadau wa maendeleo ya vijana kuongeza jitihada za kuhamasisha vijana kushiriki kwenye mchakato wa bajeti kuanzia ngazi ya kijiji. mtaa hadi ngazi ya taifa

Wakizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es salaam kuhusu tafiti na uchambuzi mdogo juu ya ushiriki wa vijana kwenye mchakato wa maandalizi ya bajeti viongozi wa asasi hiyo wamependekeza serikali kupitia bunge la Jamhuri ya muungano wa Tanzania izingatie vipaombele vya vijana kwenye bajeti ya mwaka 2023/2024 kama vilivyopendekezwa na vijana hao kwenye ripoti ya uchambuzi.

Kwa upande wake meneja ufuatiliaji na tathmini TYVA Hellen Malisa amesema kutokana na ripoti ya uchambuzi wa bajeti kwa jicho la vijana ushiriki wa vijana kwenye bajeti ni mdogo na kinachochangia zaidi ni uelewa ni namna gani Kijana anaweza kushiriki

Akitoa mapendekezo matano kwa serikali mratibu wa miradi TYVA Philipo Mulashani amesema wizara ya fedha na Mipango iondoe tozo na kodi kwenye bidhaa na huduma zinazotoa ajira Kwa vijana wengi hususani za kidigitali na kodi za vifaa vinavyotumika kuzalisha. Kunakili na kusambaza kazi za ubunifu
 

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya