Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Tril 4.5 zinakusanywa kila mwezi - TCRA

Jumanne , 5th Apr , 2016

Jumla ya fedha za Tanzania shilingi trilioni nne nukta tano, zimekuwa zikikusanywa kila mwezi kupitia biashara ya kutuma na kupokea pesa kwa njia simu za mkononi inayotolewa na makampuni ya simu za mkononi nchini.

Mwenyekiti wa Bodi ya Mamlaka ya Mawasiliano nchini TCRA, Profesa Haji Semboja

Mwenyekiti wa Bodi ya Mamlaka ya Mawasiliano nchini TCRA, Profesa Haji Semboja, ametoa takwimu hizo jijini Dar es Salaam leo, mbele ya Kamati ya Bunge ya Uwekezaji na Mitaji ya Umma, iliyokutana na watendaji wa TCRA kwa lengo la kupitia utendaji wa mamlaka hiyo.

Katika kikao na kamati hiyo, TCRA wameelezea majukumu kadhaa wanayoyatekeleza kama mamlaka ya udhibiti ambapo wamesema mamlaka hiyo haiendeshwi kwa mtazamo wa kibiashara bali kwa kusimamia usawa katika biashara na huduma ya mawasiliano nchini.

Kauli ya Profesa Semboja imekuja kufuatia michango mbali mbali ya wajumbe wa kamati hiyo, waliokuwa wakihoji utendaji wa TCRA ambapo pamoja na mambo mengine walitaka kufahamu sababu za upatikanaji na udhibiti wa huduma za mawasiliano nchini.

Kwa mujibu wa Mwenyekiti huyo wa bodi ya TCRA, Mamlaka hiyo mbali ya kusimamia sekta ya mawasiliano, lakini pia imekuwa ikifanya majukumu ya taasisi nyingine kama vile usimamizi wa kiasi cha biashara ya miamala ya pesa inayofanywa kupitia simu za mkononi kwa lengo la kuhakikisha mapato ya serikali hayapotei.

HABARI ZAIDI

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria