Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

TBS yakamata vifaa feki vya umeme

Ijumaa , 24th Aug , 2018

Shirika la viwango nchini TBS limebaini kuwepo kwa nyaya na vifaa vingine vya kupitishia umeme vinavyouzwa kwenye maduka kariakoo huku vifaa hivyo vikiwa havina ubora.

Mratibu wa ukaguzi huo, Simon Emmanuel na Afisa Udhibiti Ubora, Daudi Nkugile wamesema shirika hilo litalazimika kuteketeza vifaa hivyo kwa gharama za wenye mali ili iwe fundisho kwa wafanyabiashara wenye tabia ya kuingiza sokoni bidhaa zisiso na viwango au zenye viwango hafifu.

Wakizungumza wakati wa zoezi la ukaguzi wa bidhaa mbali mbali kwenye maduka yaliyopo katikati ya jiji la Dar es Salaam, maafisa wa TBS wamesema vifaa vilivyokamatwa ni hatari kwa usalama wa majengo na maisha ya watumiaji.

Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji Charles Mwijage wakati akisoma bajeti ya wizara yake Bungeni mjini Dodoma, alisema kuwa watumishi wa umma watakaoruhusu bidhaa feki Julai mosi mwaka huu, kuingia kwenye soko la ndani wajiandae kuachia nafasi zao.

 

 

.

 

 

HABARI ZAIDI

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria

Coaster iliyoparamia nyumba Bukoba

Tisa wanusurika kifo Kagera