Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Tanzania yapata msaada Bilioni 146.47

Jumamosi , 19th Mei , 2018

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inayoongozwa na Rais Dkt. John Pombe Magufuli imepokea msaada kutoka Jamhuri ya Watu wa China wa Bilioni 146.47 kwa ajili ya ujenzi wa chuo Kikuu cha usafiri pamoja na kuendeleza ujenzi wa reli ya standard Gauge ambayo umeanza hivi sasa.

Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango Bw. Doto James na Balozi wa Jamhuri ya Watu wa China nchini Mhe. wang Ke wakibadilishana mikataba baada ya kuitia saini makubaliano

Akizungumza na waandishi wa habari Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango Bw. Doto James mara baada ya ghafla ya kutia saini ya mkataba wa msaada wa kifedha na Balozi wa Jamhuri ya Watu wa China nchini Mhe. Wang Ke uliofanyikia Ofisi za Hazina Jijini Dar es salaam leo Mei 19, 2018 na kusema uwamuzi huo umefikiwa baada ya China kuona inaombwa msaada mara kwa mara.

"Serikali ya China baada ya kuona mara nyingi tunaiomba msaada wa kutusaidia ujenzi wa reli ya kati kwa kiwango cha standard Gauge sasa wameona kwa utashi wao kuisaidia serikali yetu ambapo wao utaratibu wao wanaanza na upembuzi wa awali na yakinifu ambazo zitagharimu shilingi bilioni 3.22 nazo zitafadhiriwa na China maana ni kama msaada", amesema Doto.

Mtazame hapa chini Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango Bw. Doto James akielezea zaidi..

HABARI ZAIDI

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90