Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Taasisi ya Ruge Mutahaba kufadhili vijana wabunifu

Alhamisi , 23rd Jun , 2022

Vijana wa Kitanzania zaidi ya 5,000 wenye vipaji na wabunifu wanatarajiwa kupata ufadhili wa masomo kutoka kwenye Taasisi ya Ruge Mutahaba, itakayozinduliwa rasmi usiku wa Jumapili ya Juni 26, 2022.

Mjumbe wa bodi ya wadhamini wa Taasisi ya Ruge Mutahaba Georgia Mutagahywa

Hayo yamesemwa na Mjumbe wa bodi ya wadhamini wa taasisi hiyo Georgia Mutagahywa, na kubainisha kuwa lengo la taasisi hiyo ni kuwaunganisha vijana mbalimbali wa Tanzania na kuwawezesha kuchangamkia fursa zilizopo katika jamii zao.

Akizungumza kwa niaba ya vyombo vya habari vitakavyoshiriki katika uzinduzi wa taasisi hiyo Reuben Ndege, amesema vyombo vya habari vimejitolea kushirikiana na taasisi hiyo kama moja ya njia ya kuenzi mchango wa Ruge katika tasnia ya habari na burudani.

Rwebu Mutahaba akiiwakilisha familia ya marehemu Ruge Mutahaba ameshukuru kwa ushirikiano mkubwa ambao wameendelea kuupata kutoka kwa wadau mbalimbali hasa katika kuyaendeleza maono aliyokuwa nayo Ruge.

Rwebu Mutahaba, mwakilishi wa familia ya marehemu Ruge Mutahaba

Ni miaka mitatu tangu Ruge Mutahaba alipofariki na taasisi hiyo katika kumuenzi itajikita katika ubunifu, uvumbuzi, umahili, upambanaji na uzalendo kwa vijana na matangazo ya uzinduzi wa taasisi hiyo yatarushwa katika vyombo mbalimbali ikiwa ni pamoja na East Africa TV.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine