Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Serikali yatoa neno wasiolipwa fedha za korosho

Jumanne , 13th Aug , 2019

Serikali imeendelea kuwapa matumaini wakulima wa Korosho ambao bado hawajakamilishiwa malipo yao na kuwataka kutokata tamaa, kwani tayari wanunuzi wamepatikana korosho zote zilizopo ghalani zitanunuliwa ndani ya muda mfupi.

Kauli hiyo imetolewa na Naibu Waziri wa Kilimo, Omari Mgumba alipokuwa akifunga maonesho ya 27 ya wakulima Nane-Nane Kanda ya kusini, katika viwanja vya Ngongo vilivyopo katika Manispaa ya Lindi.

Naibu Waziri Mgumba amesema wakulima hawana sababu za kukata tamaa wa kutolipwa fedha zao za korosho, kwani bado uhitaji wa zao hilo Duniani ni kubwa na tayari wanunuzi wa kuzinunua wamepatikana.

"Nachukuwa nafasi hii kuwaelezeni kwamba Korosho zote zilizopo maghalani kuanzia kusini hadi Dar es salaam zimepata wanunuzi. Kufuatia ubora wa Korosho zetu ulivyo, upo uhakika mkubwa bei ya zao hili kwa mwaka huu ukawa mzuri zaidi", amesema Naibu waziri Mgumba.

Naibu Waziri huyo wa Kilimo amekanusha taarifa zinazoendelea kutolewa kwamba korosho zilizopo kwenye maghala kwamba zimeoza, huku akiwataka wananchi kupuuza madai hayo, kwani wanunuzi wamepitishwa na kuzikagua na kubaini ni mzima.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine