Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Serikali yatoa neno wasiolipwa fedha za korosho

Jumanne , 13th Aug , 2019

Serikali imeendelea kuwapa matumaini wakulima wa Korosho ambao bado hawajakamilishiwa malipo yao na kuwataka kutokata tamaa, kwani tayari wanunuzi wamepatikana korosho zote zilizopo ghalani zitanunuliwa ndani ya muda mfupi.

Kauli hiyo imetolewa na Naibu Waziri wa Kilimo, Omari Mgumba alipokuwa akifunga maonesho ya 27 ya wakulima Nane-Nane Kanda ya kusini, katika viwanja vya Ngongo vilivyopo katika Manispaa ya Lindi.

Naibu Waziri Mgumba amesema wakulima hawana sababu za kukata tamaa wa kutolipwa fedha zao za korosho, kwani bado uhitaji wa zao hilo Duniani ni kubwa na tayari wanunuzi wa kuzinunua wamepatikana.

"Nachukuwa nafasi hii kuwaelezeni kwamba Korosho zote zilizopo maghalani kuanzia kusini hadi Dar es salaam zimepata wanunuzi. Kufuatia ubora wa Korosho zetu ulivyo, upo uhakika mkubwa bei ya zao hili kwa mwaka huu ukawa mzuri zaidi", amesema Naibu waziri Mgumba.

Naibu Waziri huyo wa Kilimo amekanusha taarifa zinazoendelea kutolewa kwamba korosho zilizopo kwenye maghala kwamba zimeoza, huku akiwataka wananchi kupuuza madai hayo, kwani wanunuzi wamepitishwa na kuzikagua na kubaini ni mzima.

HABARI ZAIDI

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria