Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Serikali yaongeza muda vitambulisho vya taifa

Ijumaa , 21st Oct , 2016

Serikali imeongeza muda wa usajili wa vitambulisho vya taifa kwa watumishi wa umma, na kutoa onyo kwa wakuu wa taasisi na mashirika ya umma watakaoshindwa kusimamia zoezi hilo.

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mhe. Mwigulu Nchemba.

 

Uamuzi huo wa serikali umetangazwa na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mhe. Mwigulu Nchemba, kwa pamoja na Waziri wa Nchi Utumishi na Utawala Bora Angela Kairuki wakati wa mkutano wao na waandishi wa habari mjini Dodoma.

Waziri Nchemba amesema kuwa watumishi waliokosa baadhi ya nyaraka wamepewa muda wa siku 14 kukamilisha utaratibu wa kutafuta nyaraka hizo ili kufanikisha zoezi hilo huku akisema kuongeza muda huko kunatokana na changamoto mbalimbali ikiwemo ukosefu huo wa baadhi ya nyaraka.

Kwa upande wake Mhe. Angela Kairuki ametoa onyo kwa viongozi watakaobainika kukwamisha utekelezaji wa zoezi hilo ambalo limepangwa kufanyika kwa nchi nzima.

HABARI ZAIDI

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90