Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Serikali yaleta tumaini jipya kwa wenye VVU

Jumanne , 19th Jun , 2018

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, jinsia, Watoto na Wazee, Ummy Mwalimu amesema Serikali itaanza kutoa dawa mpya za kupunguza makali ya Virusi vya Ukimwi (ARVs) itakayokuwa na ufanisi zaidi kuliko inayotumika hivi sasa nchini.

Ummy ameyasema hayo leo katika uzinduzi wa kampeni ya Furaha Yangu, Pima, Jitambue, Ishi, inayolenga kuhamasisha wananchi hasa wanaume kupima VVU kwa hiari na kuanza matumizi ya dawa za kufubaza makali ya ugonjwa Ukimwi (ARVs)

“sasa hivi mtu yeyote atakayekutwa na maambukizi ya VVU nchini ataanzishiwa dozi mapema ili kupunguza makali na kukinga maambukizi mapya ili kufikia lengo la mapambano dhidi ya ugonjwa huo hasa kwa wanaume ambao ndio kundi lenye uzito wa kupima afya”, amesema Waziri Ummy.

Amesema mpango huo wa kutoa dawa kwa miezi mitatu hautawahusu wajawazito, watoto na wale ambao mwenendo wao wa utumiaji ARVs hauridhishi.

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akikata utepe kuashiria uzinduzi wa kampeni ya kitaifa ya kupima Virusi vya UKIMWI (VVU) na kuanza kutumia dawa mapema inayojulikana kama Furaha Yangu iliyofanyika katika uwanja wa Jamhuri, Jijini Dodoma leo.

Ummy amesema pia wamepanga kuongeza vituo vya kutoa huduma kwa watu wanaoishi na VVU ambapo hadi kufikia Desemba mwaka huu vitafikia 4,050 kutoka 1,866 vilivyopo sasa

 

HABARI ZAIDI

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90